SNOOP DOGG DOGG ASEMA NI HERI KUWA NA YESU KULIKO FEDHA NA DHAHABU.
![]() |
Snoop Dogg Dogg ©Mirror |
Mfokaji huyo aliweka kipande hicho katika anuani yake ya Instagram wimbo ambao ulikuwa ukipigwa redioni nayeye akifuatilia kwa kuuimba. Ambapo kati ya pongezi alizopata kutoka kwa wanaomfuatilia kwenye anuani yake hiyo zaidi zilikuwa pongezi kwake kwa hatua hiyo hasa ikijulikana kwamba mwimbaji huyo katika nyimbo na video zake amekuwa na kawaida ya kutumia picha zenye muashilio wa ngono na madawa ya kulevya lakini kwa kuonyesha kipande hicho akimsifu Mungu ilikuwa ni habari njema kwa wanaomuombea.
Tazama mfokaji huyo akiimba katika video hiyo kwa kubonyeza Hapa
Tazama mfokaji huyo akiimba katika video hiyo kwa kubonyeza Hapa
Sikiliza sauti ya wimbo huo hapa chini kama ulivyoimbwa na Kirk Franklin
Comments
Post a Comment